UFUGAJI MAKINI

punguza umasikini kwa kufanya ufugaji kibiashara
(Reduce poverty and Ensure Better Lives Through Livestock)

We  UFUGAJIMAKINI located in Many places around Tanzania ,We are a small Company dealing with Keeping and Consultancy of Livestock Keeping and Production. We provide a quality Education about Livestock Keeping including control and prevention of animal diseases, animal  feed and animal feed solutions, we provide production consultation and assist farmers in farm planning and management in general.

We harness the power of science to support animal health performance. By applying state-of-the-art and proprietary technology we deliver natural, sustainable and profitable solutions to the production livestock industry.
MRADI WA UFUGAJI SUNGURA KIBIASHARA.

MRADI WA UFUGAJI SUNGURA KIBIASHARA.

Tunasaidia kwenye ujenzi wa vibanda bora vya sungura, kwagharama ya Tshs 65,000/= tu kwa kimoja cha ukubwa wa futi 2.53 , chenye uwezo wa kufugia Sungura mmoja mkubwa wakuzalisha pamoja na watoto wake kwa mwezi mmoja baada yakuzaliwa yaani kipindi chote cha unyonyeshwaji, na kibanda cha saizi hiyo pia kinaweza kufugia hadi sungura kumi wa umri wa miezi mitatu.

Read More  
UFUGAJI BORA WA SUNGURA

UFUGAJI BORA WA SUNGURA

Kabla hujaamua kufuga sungura hakikisha ya kwamba umejitoa na una muda wa kuwahudumia wanyama waha, ufugaji wao si rahisi kama vile ukifuga paka au mbwa, sungura wanahitaji uangalizi na hassa kwenye usafi kwa sababu ni rahisi kwao kupata maradhi yatokanayo na mazingira mabaya na machafu

Read More  
YAFAHAMU MAGONJWA YA KUKU YANAYOSUMBUA

YAFAHAMU MAGONJWA YA KUKU YANAYOSUMBUA

Jifunze namna ya kutambua magonjwa mbalimbali ya kuku kwa kuwatazama u kwa kuangalia viashiria mbalimbali.

Read More  
Njia tofauti za kufuga kuku. Faida zake Na Hasara Zake

Njia tofauti za kufuga kuku. Faida zake Na Hasara Zake

Mambo yanayomfanya mfugaji kuamua atumie njia fulani ya kufuga ni pamoja na uwezo wa kugharamia shughuli ya ufugaji wa kuku na ukubwa wa eneo alilonalo la kufugia. Katika sehemu hii utajifunza njia tatu za kufuga kuku ambazo ni:

Read More  
NJIA BORA ZA UTUNZAJI WA MAYAI YA KUKU

NJIA BORA ZA UTUNZAJI WA MAYAI YA KUKU

Mfugaji anaweza kutambua mayai yaliyo na mbegu na yale yasiyo na mbegu siku ya saba baada ya kuanza kuatamia iwapo atapima mayai kwa kutumia box lililotengenezwa maalum pamoja na tochi yenye mwanga mkali ndani ya chumba chenye kiza. Hii itamuwezesha mfugaji ayatumie mayai yasiyo na mbegu kwa chakula cha familia au kuyauza.

Read More  
MWONGOZO WA KULEA VIFARANGA

MWONGOZO WA KULEA VIFARANGA

Kwa kawaida au katika hali halisi, kazi ya kulea vifaranga hufanywa kuku mwenyewe. Hivyo ili kulea vifaranga, mfugaji ni lazima aige kuku anavyofanya. Ikumbukwe kuwa vifaranga husumbuliwa zaidi na hali mbaya ya hewa, magonjwa mbalimbali, kukosa chakula kisichofaa na kukosa uangalizi wa karibu.

Read More  

Ushauri (consultncy)

This page is used for listing the services offered by your company on your website.

Learn More

Ujenzi wa Mabanda

You can add any service you want or edit the ones that are already listed.

Learn More

(Masoko) Marketing

You can edit all of this text and replace it with what you want to write.

Learn More

chanjo na madawa

dtngydijmgyunsrtymyu tysun truyrjuk tyidtjk

Vyakula vya mifugo

dtuj 6turt rt6uyrty oihifuhweui hjdkuy mkiiy3hjwjn jwiuey4ui kidwu4rhkl

I BUILT MY SITE FOR FREE USING